proxy / proksi

proxy ni mwakilishi kati ya client(like a web browser) na huduma ((kama web server. Badala ya kuunganisha moja kwa moja na huduma, mtumiaji huituma ujumbe kwa proxy. na proxy hufanya ombi kwa niaba ya mtumiaji na kurudisha majibu kwa mtumiaji. Huduma inawasiliana moja kwa moja.