Tunasikikitka kusikia hivyo. Kuna hali nyingine ambapo huleta maana kudhibiti watumiaji wasiojulikana katika huduma ya mtandao. Lakini katika matukio mengi, kuna suluhu nyepesi ambapo zinaweza kutatua matatizo yako huku ukiruhusu watumiaji kupata tovuti yako kwa usalama.

Kwanza, jiulize kama kuna njia ya kufanya maamuzi katika ngazi ya maombi kutofautisha watumiaji halali kutoka kwenye jerk. Kwa mfano, unaweza kuwa na njia kadhaa za tovuti, au vitu kadhaa kama chapisho, kupatikana tu kwa watu waliosajiliwa. Ni rahisi kutengeneza orodha iliyoboreshwa ya anwani za IP za Tor amabazo zinaruhusu muunganiko katika huduma yako, ili uweze kutengeneza utofauti kwa watumiaji wa Tor pekee. Hii ni njia ambayo unaweza kuitumia kupata au kutozuia kila kipengele katika huduma yako.

Kwa mfano node huru ya mtandao wa IRC ina matatizo na kundi lililoratibiwa la wanyanyasaji kujiunga na vituo au njia ngumu kuchukua maongezi; lakini wakiweka lebo watumiaji wote wanaotoka kwenye node za Tor kama "mtumiaji asiyejulikana", wanaondoa uwezo wa wanyanyasaji kujichanganya, washambuliaji watarudi nyuma kutumia proxy za wazi na mitandao ya bot.

Pili, mamia kwa maelfu ya watu hutumia Tor kila siku kwa ajili ya usafi wa taaarifa- kwa mfano, kujilinda dhidi ya makampuni ya matangazo wanaokusanya taarifa huku wakiendelea na kazi zao za kawaida. Wengine hutumia Tor kwa sababu ni njia yao pekee ya kupata firewalls za zamani zilizo zuiliwa. Baadhi ya watumiaji wa Tor wanaweza wakawa wamejiunganisha kihalali kwenye huduma yako kwa sasa kubeba shughuli zako za kila siku. Unatakiwa kuamua kama kuzuia mtandao wa Tor ni thamani kupoteza mchango wa watumiaji hawa, pamoja na watumiaji halali wa baadaye. (Kwa kawaida watu hawana kipimo kizuri ya watumiaji wastaarabu wangapi wa Tor wamejiunga na huduma zao- huwezi kuwatambua hadi kuwe na wasiostarabika.)

Katika hatua hii, unatakiwa kujiuliza unafanya nini katika huduma nyingine ambazo hujumuisha watumiaji wengi kwa kutumia anwazi za IP chache. Tor haitofautiani na AOL katika mukhtadha huu.

Mwisho, tafadhali kumbuka kuwa relay za Tor zina sera za kuondoka za mtu binafsi]. relay nyingi za Tor haziruhusu kuacha muunganisho kabisa. Nyingi kati ya hizo ambazo huruhusu baadhi ya kujitoa na muunganiko inaweza kuwa isiruhusu muunganiko katika huduma yako. Ukikutana na node zilizo zuiliwa, utachanganua sera za kujiondoa na kudhibiti zile ambazo zimeruhusu muinganiko hii; na unatakiwa kuzingatia kwamba sera za kutokea zinaweza kubadilika (kama orodha yote ya node katika mtandao).

Kama kweli unahitaji kufanya hivi, tumetoa orodha ya relay za Tor au orodha ya DNS utakazohitaji.

( Baadhi ya wasimamizi wa mfumo hudhibiti anwani za IP nyingi kwa sababu, sera rasmi au baadhi ya mienendo ya unyanyasaji, lakini baadhi waliuliza kuhusu kuruhusu relay za kutokea za Tor kwa sababu wanataka kuruhusu kupatikana katika mifumo yao kwa kutumia Tor tu. Miongozo hii hutumika katika orodha iliyoruhusiwa pia.)