Itakuwa nzuri kuwaacha waendeshaji wa relay wasema vitu kama reject www.slashdot.org katika sera zao za kutoka badala ya kuwahitaji kujifunza nafasi yote ya anwani ya IP ambayo inaweza kufunika na tovuti (na kisha pia kuzuiwa kwa mitandao mingine katika anwani hizo za IP).

Hata hivyo, Kuna matatizo mawili. Kwanza, watumiaji wangeweza kuendeleza kuzunguka vizuizi hivi. Kwa mfano, wanaweza kuomba anwani ya IP badala ya jina la mmiliki wakati wanatoka kutoka kwenye mtandao wa Tor. Hii inamaanisha waendeshaji wataendelea kusoma anwani zote za IP katika maswali ya mwisho.

Tatizo la pili ni kwamba ingeruhusu wadukuzu washambuliaji wa mbali kudhibili tovuti holela. Kwa mfano, Kama muendeshaji wa Tor akazuia www1.slashdot.org, na kisha mshambuliaji fulani akaweka sumu kwenye DNS ya Tor relay's au vinginevyo akabadilisha jina la mmiliki kutatua anwani ya IP kwa tovuti kuu ya habari, Kisha ghafla Tor relay ikiwa imezuia tovuti ya habari.