secure sockets layer (SSL) / Tabaka salama la sakitir (SSL)

Secure sockets layer (SSL) ni utaratibu wa kawaida wa usalama wa mtandao unaotumika kulinda mawasiliano ya mtandao na kulinda data nyeti zinazosambazwa kati ya mifumo miwili. SSL husimba data ambazo husafirishwa, na kuzuia mtu asiyehusika moja kwa moja katika kufikia data ambazo zimetumwa.