Hapana, haina. Unatakiwa kutumia programu tofauti ambayo itaelewa maombi yako na itifaki na kujua namna ya kusafisha or ''kuondoa'' data zilizotumwa. Tor Brower inajaribu kuweka kiwango cha taarifa ya maombi, kama wakala wa mtaumiaji, sare kwa watumiaji wote. Tor Browser haiwezi kufanya chochote kuhusu maandishi unayochapa kwenye fomu.