Awali ya yote, Sheria mama ya Tor exit inakaa port 25 (SMTP) zote za kutoa usafirishwaji wa data. Kwahiyo kutuma barua taka kupitia Tor haitafanya kazi vizuri kwa kawaida. Ni rahisi kuwa baadhi ya waendesha relay wataruhusu poti 25 katika exit node maalumu, ambapo kwa suala hili kompyuta itaruhusu barua pepe kutoka, lakini mtu huyo anaweza kupangilia kupeana barau pepe wazi pia, bila ya Tor. Kwa kifupi, Tor haitumiki kwa kutuma barua taka, kwa sababu karibu na Tor relays zote zinakataa kupokea barua.

Bila shaka, sio yote kuhusu kupokea barua pepe. Barua taka inaweza kutumia Tor kuunganisha katika HTTP proxies iliyo wazi (na kutoka hapo hadi seva za SMTP); na kuunganishwa na hati za CGI zilizoandikwa na kutuma barua pepe vibaya — yaani, huwasiliana kwa siri na makundi ya kompyuta zilizoathiriwa kwa kupokea barua pepe taka.

Hii ni aibu, lakini kumbuka watumaji baraua taka tayari wanafanya vizuri bila uwepo wa Tor. Pia, kumbuka kuwa njia zao nyingi za hila za mawasiliano (kama sppofed UDP packets) haiwezi kutumia dhidi ya Tor, kwa sababu inasafirisha muunganisho wa TPC sahihi ulioundwa.